“Cyberbullying” Ni uonevu unaotendeka kupitia vifaa vya mawasiliano vya kidigitali, mfano simu, kompyuta, “tablets”, uonevu huu unaweza kutokea kupitis SMS, jumbe fupi za maneno, maandishi ya blogs, program za kwenye simu ama kupitia mitandao ya kijamii, majukwaa nk mahali ambapo watu wanaweza kuhusika kwa kuona, kuandika ama kushea. Uonevu huu unahusisha kutuma, kuandika ama kushirikishana […]
Category: Bongo
Je? Wewe ni Mbuzi Kati ya Kundi la Kondoo
Je hujawahi kuona mtu anaingizwa kwenye grupu la wanasheria halafu anashusha picha 200 za biashara yake ya nguo toka china? ama mtu anaingia kwenye grupu la kikundi cha kwaya halafu anatuma picha za “kanga moko”? hawa ni wengi wetu ambao hawafahamu mipaka na mazingira ya mawasiliano mitandaoni. Wanaweza imbisha wimbo wa Mwenge kwenye msiba. Ungana na mwandishi wa makala hii kupata kufahamu mazingira na matumizi bora ya mawasiliano ya tehama, na changamoto katika jamii yetu.
Do You Know what is Social Network?
Na, Je Wafahamu Mipaka ya Huduma za Mtandao? I know a bit of Swahili so I will do my best to keep up with a few sentences here and there just to keep it live, especially when the message is for my fellows from Tanzania around the world. There has been a buzz going around […]