Je hujawahi kuona mtu anaingizwa kwenye grupu la wanasheria halafu anashusha picha 200 za biashara yake ya nguo toka china? ama mtu anaingia kwenye grupu la kikundi cha kwaya halafu anatuma picha za “kanga moko”? hawa ni wengi wetu ambao hawafahamu mipaka na mazingira ya mawasiliano mitandaoni. Wanaweza imbisha wimbo wa Mwenge kwenye msiba. Ungana na mwandishi wa makala hii kupata kufahamu mazingira na matumizi bora ya mawasiliano ya tehama, na changamoto katika jamii yetu.
Category: Surprisez
Do You Know what is Social Network?
Na, Je Wafahamu Mipaka ya Huduma za Mtandao? I know a bit of Swahili so I will do my best to keep up with a few sentences here and there just to keep it live, especially when the message is for my fellows from Tanzania around the world. There has been a buzz going around […]