Category: Tehama

Je? Wewe ni Mbuzi Kati ya Kundi la Kondoo

Je? Wewe ni Mbuzi Kati ya Kundi la Kondoo

Je hujawahi kuona mtu anaingizwa kwenye grupu la wanasheria halafu anashusha picha 200 za biashara yake ya nguo toka china? ama mtu anaingia kwenye grupu la kikundi cha kwaya halafu anatuma picha za “kanga moko”? hawa ni wengi wetu ambao hawafahamu mipaka na mazingira ya mawasiliano mitandaoni. Wanaweza imbisha wimbo wa Mwenge kwenye msiba. Ungana na mwandishi wa makala hii kupata kufahamu mazingira na matumizi bora ya mawasiliano ya tehama, na changamoto katika jamii yetu.