Jambo la msingi kufahamu ni kwamba, Kupenda ni ONE WAY, yaani jukumu la kupenda ni suala binafsi, halina ushirikiano. Hivyo ukipenda, basi penda kwa jinsi unavyo penda kupenda. Na usisubirie kupendwa unavyotaka kupendwa.
Ukipenda gauni, ikatokea kipimo chake hakikutoshi, hutalichukia hilo gauni, bali utaendelea kulipenda ingawa huwezi kulivaa sababu halikutoshi.